Featured
Loading...

Wawili waenguliwa uchaguzi klabu ya simba

MAAJABU YA MTANDAONI,BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO
Kamati ya uchaguzi klabu ya Simba chini ya Mwenyekiti wake, Boniface Lyamwike, imeweka wazi majina 19 ya wajumbe waliochukua fomu ambapo kati yao wajumbe 17 wamepita na wajumbe 2 wameenguliwa kuelekea uchaguzi mkuu wa klabu unaotarajia kufanyika Novemba 3, 2018.
Ambapo wajumbe 17 waliopitishwa ni Hussein Kitta Mlinga, Iddy Noor Kajuni, Zawadi All Kadunda, Mohamed Wandi, Selemani Harubu Said, Abdallah Rashid Mgomba, Christopher Kabalika Mwansasu, Alfred Matin Elia, Ally Suru, Mwina Mohamed Kaduguda, Said Tully, Jasmine Badar Soudy, Juma Abbas Pinto, Hamis Ramadhani Mkoma, Abubakari Zebo, Patrick Paul Rweyemamu, Asha Ramadhani Baraka.
Na wajumbe 2 walioenguliwa ni Selemani Omari Selemani na Omar Juma Mazola.
Pia taarifa ya kamati hiyo imewataja waliopitishwa katika nafasi ya Uenyekiti ni Swedy Mkwabi na Mtemi Ramadhani.
Aidha katika uchaguzi huo kwa mujibu wa katiba mpya ya mwaka 2018, mgombea wa nafasi ya Uenyekiti anapaswa kuwa na kiwango cha elimu ya Shadaha kutoka Chuo Kikuu na katika orodha ya wajumbe watano watakaopigiwa kura, mjumbe mmoja atapaswa kuwa na shahada ya kwanza ya Chuo Kikuu huku wengine wakiwa na kiwango cha elimu ya kidato cha nne.
Na katika hao wajumbe watano mjumbe mmoja anapaswa kuwa mwanamke ili kuleta usawa wa kijinsia katika uwajibikaji wa kazi za klabu.
  • TAFADHALI SHARE HABARI HII KWA RAFIKI ZAKO HAPO CHINI ILI IWAFIKIE NA WENGINE PIA
  • Pig industry sustains livelihoods of many families in Kenya. Pig rearing has been one of wellestablishedindustry in Kenya following growing export markets and increasing number of health conscious consumers. Pig production if efficiently managed has great potentials for increasing protein supply in Kenya. Smallholder pig farms in Tharaka-Nithi County have been facing varying and dismal profits. The main objective of this study will be to establish which institutional arrangements and management factors affect the profit efficiency of small-holder pig farmers in Tharaka-Nithi County. A multi-stage purposive sampling technique will be adopted to collect cross sectional data of eighty (80) smallholder pig farmers in Maara Constituency by the use of semi-structured interview schedules. The work will employ Data Envelopment Analysis to come up with profit efficiency rankings among the farmers and stochastic frontier profit function will be used to analyze the factors that affect profit efficiency. The data will be processed using STATA and DEA Frontier packages. The findings could be useful to the stakeholders of the pig industry sub sector to formulate policies pertaining to pig enterprise inputs, marketing issues and financial products and also can establish benchmarks which can be used as a package for enhancing and stabilizing profit efficiencies of smallholder pig farmers which in turn could help improve the Kenya economy. An Overview of Livestock Sub-sector in Kenya Perspectives, Opportunities and Innovations for Market Access for Market Access for Pastoral Producers Recent statistics point that the livestock sub-sector in Kenya accounts for approximately 10% of the National Gross Domestic Product (GDP). This is 30% of the agricultural GDP. It employs about 50% of the national agricultural workforce and about 90% of the ASAL workforce. 95% of ASAL household income comes from this sub-sector. This is despite the fact that the sector receives only 1 % of the total annual budget allocation. The livestock resource base is estimated at 60 million units comprising of 29 million indigenous and exotic chicken, 10 million beef cattle, 3 million dairy and dairy crosses, 9 million goats, 7 million sheep, 0.8 mi camels, 0.52 mi donkeys and 0.3 million pigs. (Strategy for Revitalizing Agriculture (SRA) 2003) Kenya is broadly self-sufficient in most livestock products but is a net importer of red meat mostly inform of on-the-hoof animals trekked across the porous boundaries of neighbouring countries- Somalia, Ethiopia, Sudan, Uganda and Tanzania. Livestock supply in Kenya results from a complex set of interactions between Kenya and its neighbours and the traditional Middle East market and their respective livestock populations, demand and market prices. Kenya is part of a regional market where livestock flow according to markets and price differentials in a liberalized system throughout the region as a whole and where Nairobi represents a focus of demand for the region Supply of red-meat from domestic cattle, shoats and camels falls short of demand, and is almost permanently augmented by a traditional livestock trade drawn in from neighbouring countries, especially Somalia, Tanzania, Sudan and Ethiopia in varying quantities according to demand, which maintains a supply/demand [1.6MB]SIJAAMINI WEMA SEPETU ANACHOKIFAYA HAPO KWENYE HII VIDEO BOFYA UONE
    Older Posts
    © Copyright Mambomseto Blog | Designed By Code Nirvana
    Back To Top